TIMES FM YATOA MASHUKA 200 HOSPITALI YA MWANANYAMALA
Mkurugenzi Mtendaji wa Radio
Times FM, Rehure Nyulawa (kushoto) akisoma hotuba fupi kuhusiana na
lengo la kutoa msaada huo kulia ni Mganga Mkuu wa Hospitali ya
Mwananyamala, Sophinias Ngonyani pamoja na wauguzi.…